Diane Shima Rwigara akamatwa

Aliyetaka kugombea Urais nchini Rwanda mwana Dada Diane Shima Rwigara amekamatwa nchini humo kwa kosa la uchochezi Wa uasi, mwana Dada Diane amekamatwa yeye na  mama yake, 
Pia mwana Dada Diane amekamatwa kwa kosa la kuweka sahihi bandia kwenye nyaraka zilizogunduliwa kuwa hazina ukweli kuihusu serikari ya nchi hiyo
       Hadi kufikia sasa uchunguzi bado unaendelea  ili ijulikane amechoche vipi uhasi nchini humo, 
              

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Saloon ya Kikie ni nini?

MAFUNZO YA USUSI WA NYWELE NA UREMBO UJUMLA (BUKOBA)

CHUO CHA UREMBO BUKOBA