Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2017

FURSA

Picha
Bomba la mafuta kutoka Kabaale Uganda  hadi Tanga Tanzania,        Fursa hii sasa kwa watanzania wote bila kujali wewe ni nani, ndugu zangu watanzania tumekuwa na hali ya kutojikubali, kaa chonjo na kuwa tayali ili fursa hii isikupite kwa namna moja au nyingine haswa wakazi wa               Bokoba Kagera                 Kahama                 Mwanza, na mikoa mingine linapopita bomba hilo, hii ndiyo tafsili ya Maishamedia

Nchini Kenya

Picha
Maisha ya huko nchini Kenya: Mahakama kuu nchini Kenya yashindwa kusikiliza shauli la kuhailisha uchaguzi wa marudio nchini humo kutokana na majaji watano (5) kutoonekana maakamani kati ya majaji saba

Neema na baraka sasa kwa watanzania wote,

Picha
Wapendwa nawasalimu katika jina la Yesu,           Tunawatangazia watanzania wote tamasha   La uimbaji wa nyimbo za injili litakalofanyika mkoani Njombe katika ukumbi wa Danda Chanya, siku ya tarehe 05/11/2017 kuanzia saa 7:09 mchana,     Watakuwepo waimbaji wengi sana kutoka ndani na nje ya Njombe kama vile  Bahati Bukuku , watakuwepo pia wanakwaya wa kwaya mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali, lakini pia watakuwepo Joyce Ombeni  ,pia atakuwepo mtumishi Wa Mungu Furaha Isaya  Ni katika wimbo uliojaa neema na baraka unaotambulishwa kwa jina la Nimepata Pumziko,         Watu kutoka sehemu mbalimbali watakuwepo kwa kiingilio cha 3000/= kwa MTU mzima na 2000/= kwa watoto     Kachone neema na muujiza katika maisha yako na Mungu akubaliki sana.

Hii si ya kukosa Uzinduzi wa Album mpya kutoka kwa Mwimbaji wa nyimbo za injiri Neema Ng'asha

Picha
Haleluya,  Wapendwa katika Bwana mwimbaji wa nyimbo za injili Neema Ng'asha anapenda kukuhalika kushiriki uzinduzi wa Album mpya inayoitwa ( Tunaye Bwana katika video DVD) na ( USILIE tena katika Audio CD), Kutakuwa na waimbaji wote wa nyimbo za injili kutoka ndani na nje ya mkoa wa mwanza, lakini pia kutakuwa na kwaya mbalimbali zikisifu na kumtukuza Mungu, hii sio ya kukosa, ni katika            UWANJA WA CCM KIRUMBA MWANZA, itakuwa tarehe 10/12/2017 Kuanzia saa 8:00 (nane kamili mchana) KARIBUNI SANA HAKUNA KIINGILIO                    Mbinguni tunaenda bureee kwa jina la YESU

NECTA: STD SEVEN RESULTS| MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2017

Picha
NECTA: STD SEVEN RESULTS| MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2017 : MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2017

Matokeo ya Darasa la saba 2017.

Picha
Baraza la Mitiani la Taiga NECTA Leo tarehe 20/10/2017 imetoa matokeo ya mitiani ya darasa la saba mwaka huu, kuyaona ingia hapa, http://www.dreamjobstz.com/2017/10/nectar_st_seven_results_matokeo_ya.htm/.

Apumzike kwa amani Baba wa taifa

Picha
Leo ni siku ya uzuni na masikitiko makubwa sana kwa watanzania wote, ikikumbukwa kuwa siku kama ya Leo mwaka 1999 tuliondokewa na Baba wa taifa ayati Mwl. Juliusi Kambalage Nyerere, tukiungana na wenzetu ulimwenguni kote walioguswa na msiba huo, share kwa wengine 

Dk. John Pombe Magufuli afanya mabadiliko katika baraza la mawaziri

Picha
Dk.John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko katika baraza la Mawaziri kwa kuongeza idadi ya Wizara, kuteua mawaziri na naibu mawaziri wapya na kuwahamisha Wizara baadhi ya mawaziri na naibu mawaziri.

Alichokisema Christopher Mwahangila kuhusu huduma yake

Picha
Mwimbaji Wa nyimbo za injiri Christopher Mwahangila Leo wakati akifanya mahojiano na uhai FM alisema haya juu ya huduma yake Mwimbaji huyo amesema alianza huduma ya uimbaji mwana 2015 akitokea mkoani Mbeya, kwa sasahivi anapatikana mkoani Dar es salaam, Anamshukuru Mungu kwa kumpa kibali mbele za watu kupitia album yake ya Mungu ni Mungu tu, pia ameongeza kuwa anataka kuachia album mpya itakayokuja ikiwa imekamilika upande Wa audio na video, Ameomba wapendwa wakae wakitegemea Huduma nzuri kutoka kwake  Pia ameongeza kuwa Christopher Mwahangila Wa mwana 2015  sio huyu Wa Leo maana Mwenyezi Mungu amemuinua kimaisha zaidi katika huduma yake kiroho  Ameongeza kuwa anapenda sana kushauriwa, kujifunza zaidi huduma yake. Kwa mawasiliano zaidi pigs +255 716 620 000 au              +255 756 068 844.

Diane Shima Rwigara akamatwa

Picha
Aliyetaka kugombea Urais nchini Rwanda mwana Dada Diane Shima Rwigara amekamatwa nchini humo kwa kosa la uchochezi Wa uasi, mwana Dada Diane amekamatwa yeye na  mama yake,  Pia mwana Dada Diane amekamatwa kwa kosa la kuweka sahihi bandia kwenye nyaraka zilizogunduliwa kuwa hazina ukweli kuihusu serikari ya nchi hiyo        Hadi kufikia sasa uchunguzi bado unaendelea  ili ijulikane amechoche vipi uhasi nchini humo,                

Magazeti ya Leo 04/10/2017

Picha
Karibu mpenzi msomaji ikiwa ni asubuhi siku nyingine kabisa tarehe 04/10/2017 tuangazie yaliyojili katika magazeti yetu mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na habari iliyobeba uzito Leo, JPM kumtetea tens Makonda, karibu sana