Machapisho

Saloon ya Kikie ni nini?

SALUNI YA KIKE NI NINI? NDUGU ZANGU LEO NAPENDA NIKUSHIRIKISHE MAANA YA SALUNI YA KIKE Nini maana ya saluni ya kike?         Saloon ya kike ni nini?              Ni sehemu safi iliyotengwa au kuandaliwa ili kutengeneza muonekano MZURI wa mwanamke au SALOON YA KIKE ni aina ya biashara na UREMBO wa mwanamke na USUSI kwa jumla, Biashara ya saloon ya kike ni biashara yenye changamoto kubwa sana hii ni kwasababu inahusiana na urembo,  Ikumbukwe kuwa muonekano wa mwanamke ndio kila kitu Kama mtu akifungua saloon ya kike hali hawezi kusuka au kutengeza nywele vizuri basi jua ya kuwa hata kama amewekeza milioni kumi saloon hiyo itakufa wakati wowote, mwanamke anapoingia saloon ya kike anakuwa anategemea apate huduma yenye kiwango kizuri na ubora atoke akiwa na muonekano mzuri zaidi yaani amependeza, kama unataka kufungua saloon ya kike usiwaze fuata hatua zifuatazo; HATUA TATU ZA KUFUATA KABLA YA KUFUNGUA SALOON YA KIKE...

MAFUNZO YA USUSI WA NYWELE NA UREMBO UJUMLA (BUKOBA)

Picha
GUKEKA VOCATIONAL TRAINING CENTRE KUPITIA MEDDY HAIR DRESSING SALOON GUKEKA VOCATIONAL TRAINING CENTRE TUNAENDELEA KUKULETEA MAFUNZO KWA FANI YA USUSI WA NYWELE NA UREMBO KWA UJUMLA , KWA JINSIA ZOTE KUTWA NA BWENI , ADA NI NAFUU ZAIDI NA ZINALIPWA KWA AWAMU LENGO TWAFIKIE WATU WOTE WAPATE FANI NA KUJIAJILI WENYEWE BILA KUKAA KUSUBILI KUAJILIWA, TUNAO WALIMU MAHILI KABISA WALIOBOBEA KATIKA FANI HII , TUNAKUKARIBISHA MZAZI AU MLEZI UMLETE MWANAO NDUGU, JAMAA NA RAFIKI, GUKEKA VOCATIONAL TRAINING CENTRE APATE FANI KWA MAISHA YAKE YA SASA NA BADAE KWA PAMOJA TUNASEMA  '' ELIMU NI MWANGA WA MAISHA'' CHUO KIKO MKOANI   KAGERA KWA MARA YA KWANZA KABISA, BUKOBA MJINI RWAMISHENYE ROUNDABOUT  MKABARA NA CHECKPOINT YA MATRAFIKI KWA CHINI UTAONA GOROFA JEUPE LENYE MABATI MEKUNDU  KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NAMBA +255758644831 au +255629725622 E-MAIL; meddymerchades@gmail.com au eurogeoff319@gmail.com FACEBOOK: Meddy na mitindo ya kusuka,...

CHUO CHA UREMBO BUKOBA

Picha
KWA MALA YA KWAANZA TUNAKUFUGNULIA BLOG YAKO AMBAYO UTAITUMIA KUFUATILIA MAFUNZO YA USUSI WA NYWELE NA UREMBO KWA UJUMLA WAKATI WOWOTE MUDA WOWOTE NA MAHARI POPOTE   meddymerchades@gmail.com KWA MALA YA KWANZA MKOANI KAGERA CHUO CHA GUKEKA VOCTIONAL TRAINING CENTRE TUNAKULETEA MAFUNZO KWA FANI YA USUSI WA NYWELE NA UREMBO KWA UJUMLA, ADA NI NAFUU ZAIDI NA INALIPWA KWA AWAMU PIA MUDA WA MASOMO NI MFUPI SAANA KWA KUWA TUNAO WALIMU MAHILI WALIOBOBEA KATIKA FANI HII, MAFUNZO NI YA KUTWA NA BWENI KWA JINSIA ZOTE FOMU ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA CHUONI GUKEKA,  KANISA LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD   (T.A.G) MI GERA BUKOBA VIJIJINI NI MWEMAGE PARISH MEDDY +255 758 644 831, +255 629 725 622                           CHUO KINATAMBULIWA NA SERIKALI CHINI YA VETA MUHULA WA MASOMO UMEKWISHAANZA, TUNAPOKEA WATU WOTE HATAKAMA HAJUI KUSOMA NA KUANNIKA TUTAMSAIDIA KINACHOHITAJIKA NI NIA   ...

FURSA

Picha
Bomba la mafuta kutoka Kabaale Uganda  hadi Tanga Tanzania,        Fursa hii sasa kwa watanzania wote bila kujali wewe ni nani, ndugu zangu watanzania tumekuwa na hali ya kutojikubali, kaa chonjo na kuwa tayali ili fursa hii isikupite kwa namna moja au nyingine haswa wakazi wa               Bokoba Kagera                 Kahama                 Mwanza, na mikoa mingine linapopita bomba hilo, hii ndiyo tafsili ya Maishamedia

Nchini Kenya

Picha
Maisha ya huko nchini Kenya: Mahakama kuu nchini Kenya yashindwa kusikiliza shauli la kuhailisha uchaguzi wa marudio nchini humo kutokana na majaji watano (5) kutoonekana maakamani kati ya majaji saba

Neema na baraka sasa kwa watanzania wote,

Picha
Wapendwa nawasalimu katika jina la Yesu,           Tunawatangazia watanzania wote tamasha   La uimbaji wa nyimbo za injili litakalofanyika mkoani Njombe katika ukumbi wa Danda Chanya, siku ya tarehe 05/11/2017 kuanzia saa 7:09 mchana,     Watakuwepo waimbaji wengi sana kutoka ndani na nje ya Njombe kama vile  Bahati Bukuku , watakuwepo pia wanakwaya wa kwaya mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali, lakini pia watakuwepo Joyce Ombeni  ,pia atakuwepo mtumishi Wa Mungu Furaha Isaya  Ni katika wimbo uliojaa neema na baraka unaotambulishwa kwa jina la Nimepata Pumziko,         Watu kutoka sehemu mbalimbali watakuwepo kwa kiingilio cha 3000/= kwa MTU mzima na 2000/= kwa watoto     Kachone neema na muujiza katika maisha yako na Mungu akubaliki sana.

Hii si ya kukosa Uzinduzi wa Album mpya kutoka kwa Mwimbaji wa nyimbo za injiri Neema Ng'asha

Picha
Haleluya,  Wapendwa katika Bwana mwimbaji wa nyimbo za injili Neema Ng'asha anapenda kukuhalika kushiriki uzinduzi wa Album mpya inayoitwa ( Tunaye Bwana katika video DVD) na ( USILIE tena katika Audio CD), Kutakuwa na waimbaji wote wa nyimbo za injili kutoka ndani na nje ya mkoa wa mwanza, lakini pia kutakuwa na kwaya mbalimbali zikisifu na kumtukuza Mungu, hii sio ya kukosa, ni katika            UWANJA WA CCM KIRUMBA MWANZA, itakuwa tarehe 10/12/2017 Kuanzia saa 8:00 (nane kamili mchana) KARIBUNI SANA HAKUNA KIINGILIO                    Mbinguni tunaenda bureee kwa jina la YESU