Ukaaji mbaya
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga Simon Haule akionyesha ukaaji vibaya wa abilia kwenye bodaboda wakati wa mafunzo ya usalama barabarani. Katika mafunzo hayo alisema kwamba ukaaji huo ni wenye utata mkubwa na kusababisha ajali na vifo kwa watu wengi.