Neema na baraka sasa kwa watanzania wote,
Wapendwa nawasalimu katika jina la Yesu,
Tunawatangazia watanzania wote tamasha
La uimbaji wa nyimbo za injili litakalofanyika mkoani Njombe katika ukumbi wa Danda Chanya, siku ya tarehe 05/11/2017 kuanzia saa 7:09 mchana,
Watakuwepo waimbaji wengi sana kutoka ndani na nje ya Njombe kama vile
Bahati Bukuku
, watakuwepo pia wanakwaya wa kwaya mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali, lakini pia watakuwepo Joyce Ombeni
Ni katika wimbo uliojaa neema na baraka unaotambulishwa kwa jina la Nimepata Pumziko,
Watu kutoka sehemu mbalimbali watakuwepo kwa kiingilio cha 3000/= kwa MTU mzima na 2000/= kwa watoto
Kachone neema na muujiza katika maisha yako na Mungu akubaliki sana.





Maoni
Chapisha Maoni